Skip to main content

Posts

Showing posts from January, 2018

Barnaba ft Aslay - Ngoma Lyrics

Barnaba ft Aslay Ngomma Lyrics Iyaka…alelelelele nisange na ngoma iyo Nisange na ngoma iyo mama (nisange na ngoma iyo) Nisange na ngoma iyo mama (nikute na ngoma iyo) Nikute na ngoma iyo (maria) maria mama Nisange na ngoma iyo Nisange na ngoma iyo maria mwanangu Nilimujaza tumbo mama yak ah Mama akakuleka mwanae oh sasa umekua mama hmm Nisange na ngoma hiyo Isa isange na ngoma hiyo mamamama (nikute na ngoma hiyo) Sasa umekua mamamama (maria mama) Nisange na ngoma hiyo Yale tuliokufunza mie na bibi yako (nisange na ngoma iyo) Uende ushike ukatunze nyumba yako (nikute na ngoma iyo) Nikute nango nikute na ngoma mamamama (maria mama nisange na ngoma iyo) Kwa sasa umekua utatusaidia ninganachotegemea utatusaidia Na kakayo elimu sina na wewe ndo nakutegemea maria Maria we (nisange na ngoma iyo) Si unajua uchungu wa mzazi dada maria (nikute na ngoma iyo) Atakuja atakumwaga razi kisha utali chunga Vibarazani watacheza karata mastela Dada linda ndoa yako mumeo asirudi kua bachelor Watakuta...

Aslay - Mario Lyrics

Aslay - Mario Lyrics Baby nipe nikatumie nisipodeka kwako nikadeke kwa wapi mie Nataka gari uninunulie nataka pamba kali nipendeze Na mimi wanisifie wanisifie Mi kitandani fundi nafanya unalia kama bundi Huo wivu wako sipendi nipe pesa mi nikale tunyi Nakufundisha mapenzi japo una umri washangaza Nakudatisha kichizi mpaka mumeo unamuona makuzi eh Napatapata vitisho nikiwa kitaani Mumeo anataka kuniua eti kisa nini eh Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi Ila akitaka ndondi aende ulingoni badae Nibebe kwa mbeleko kama mtotoo kama mtoto Nipe pesa nikupe ukitakachoo ukitakacho Nibebe kwa mbeleko kama mtotoo kama mtoto Nipe pesa nikupe ukitakachoo Oyi eeh mama anataka pesa hana aliniomba toka jana Anataka sare aende zake kwenye ngoma Mmh basi mpe si umependa mboga penda na ua lake Akinuna atafanya zifungwe rizki zote Napatapata vitisho nikiwa kitaani Mumeo anataka kuniua eti kisa nini eh Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi Ila akitaka ndondi aende ulingoni badae N...

Sauti Sol ft Tiwa Savage - Girl Next Door Lyrics

Sauti Sol ft Tiwa Savage Girl Next Door Lyrics Hey baby nimechoka tu kupretend I know I’m jumping in the deep end What you doing for the weekend Hey baby sina noma hii wikendi niko easy I want this turn up to be different I like it when you get into my deep end Juu kelele za mother, landlord na madrama Na kichwani umejaza mawazo Niko tayari kusurrender na kusema na kutenda Ila tu wewe unipe mkono Baby let’s roll out Wanna have a conversation maybe roll one Take you somewhere higher give you more life I’ve been really really feeling your flavour sana Girl next door Ooh where roll one I’ll give you everything you need and more I see say you de like to kick it on the lower I know you wanna get a taste of my flavour sana Boy next door All the time you been there love was staring me in my face yeah He’s a boy next door when he slowly stole my heart away Baby by the way I hear say you looking for a sexy girl The kind weh fi take away your fever yeah The kind weh ...

Ben Pol ft Wyse - Bado Kidogo Lyrics

Ben Pol ft Wyse Bado Kidogo Lyrics Walimwengu wakubeza na wengine wakucheka Mwelekeo umepoteza hata mbele huoni tene Nyumbani njaa kali kazini tafrani banki una deni Biashara imefaili Na wao tu hawajui mangapi yanayokukabili Kabla ya jua kuzama una mambo mengi Yaliyofungwa kwako wee yatafunguliwa Na kabla ya jua kuzama utaona mengi Yaliyofungwa kwako wee yatafunguliwa Oh bado kidogo (bado kidogo) oh bado kidogo (bado kidogo) Oh bado kidogo (bado kidogo) oh bado kidogo (bado kidogo) Oh bado kidogo (bado kidogo) oh bado kidogo (bado kidogo) Oh bado kidogo (bado kidogo) oh usife moyo (bado kidogo) Ukifaili isijione haufai Give thanks and praise to the Most High Naona unavyofuta machozi wewe Na shida unazopata ili kusonga mbele Hatua ziko chache ili kufika kule Pambana usiyumbishwe na zao kelele Nakuona unapigania haki simama utashinda Na wao tu hawajui mangapi yanayokukabili Kabla ya jua kuzama una mambo mengi Yaliyofungwa kwako wee yatafunguliwa Na kabla ya jua kuzama utaona mengi Yaliyo...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...

Lava Lava - Teja Lyrics

Lava Lava TEJA LYRICS [Verse 1] Hhhmmm Nikutume wapi sasa njiwa Uende unitafutie kipenda roho Hhhmmm Yuuh wapi kama unanisikia Fanya unisaidie usichikoe ohhh Tumia wako ujasiri na machachali Chumvi sukari niwekeeeee Nenda na ufike mbali Ukipata hodari usisubiri nilete [Bridge] Ila sitaki kunguru mimi ehhh Akaiba ndani Kutwa kuzulula mitaaani kula mifupa Asiyojua penzi nini (eeeh) Wala shukurani (eeeh) Chochote anakula hata kile kinachonuka [Chorus] Akanifanya nikawaaaa Teja wa mapenzi Nikawa mimi Teja wa mapenzi Akili ikasinizia ehh Teja wa mapenzi Ohhh masikini Teja wa mapenzi Moyoni ntaumia ehhh [Verse 2] Mama alisema penzi sherehe Si mabomu ya machozi kutwa kulizana Na ujana ukiendekeza starehe Yule mwenye jema penzi utamuona hana maana Mapenzi sio upinzani ule wa simba na yanga Tuishi kama vitani kushikiana mapanga Mapenzi kamari uyapati kwa waganga Nishapiga sana tunguri nikaishia kutanga tanga Ndo maaana [Bridge] Sitaki kunguru mimi ehhh Akaiba ndani Kutwa kuzulula mitaaani kula ...

Tiwa Savage ft Wiz Kid & Spells - Ma Lo (Official Lyrics)

Tiwa Savage "Ma lo" (ft Wiz Kid & Spells) Tiwa Savage Spellz on the beat Tiwa Savage on this one eyeh Wizkid e yo wamama Make you yarn am as the thing go Wizkid This kind thing I never see oh My pressure dey high, calm me down oh oh My girl hold unto me oh Never ever leave me for crash oh Girl you dey make me shiver oh Girl if you leave I suffer oh With you I get no wahala oh I wan dey with you forever oh Tiwa Savage Robo skeke robo skeke If no be you then tell me who oh Them go sempe Them go sempe Nobody messing with my boo oh Robo skeske robo skeske If no be you then tell me who oh Robo skeske Robo yeske Nobody messing with my boo oh Wizkid Ma lo oh, Jor oh You give me love I've never seen oh oh Ma lo oh, Jor oh oh Your love means so much to me Ma lo oh, Jor oh You give me love I've never seen oh oh Ma lo oh, Jor oh Your love means so much to me oh Tiwa Savage No be what you do or what you say My love is single no be plural ...

Davido - Fia (Official Lyrics)

Davido "FIA" Intro Fia ! Fia ! Post-Chorus Dab, make I dab (haba!) Give me love, make I love (I do!) Make no other one above (haba!) Damn !! Fresh on the beat Verse 1 Shawty want a million dollar (sekpe!) Say make I wire wire Turn me to wana cover oh (maga oh!) She say all her friends are Living la Vida Local Dey form Yemi my lover (oooh ahhhn!!) Bridge Yeah! You for dey for me (you for dey !!) When the boy dey hunger I for try for you oohhh ehhh Pre-Chorus But you say, if you no get money, hide your face (I hide my face) Make another man pikin, run my race Chorus Yeehh! I love you, no mean say, If you say make I put one hand for fia Fia Fia burn them I go put hand for fia ooh E no mean say, If you say make I put one leg for fia Fia fia burn them I go put leg for fia ooh Post-Chorus Dab, make I dab (haba!) Give me love, make I love (I do!) Make no other one above (haba!) (x2) Verse 2 Sukura kilo ko si o, yeehhh !! Suku shaker, I am shoe ...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Aslay - Hauna (Official Lyrics)

Aslay "Hauna" Ilikuwa inakuumaga ukiniona naye Ilikuwa inakuchomaga mwanaume wewe Ulitamani wewe ndo uwage mie Ndio maana nilipomuacha ukaamua umuoe We hauna ,we hauna Hauna moyo kabisa Hauna ,we hauna ,we hauna Ulumagiki ata kulika Hauna wewe Alivyopika chakula ulikuwa jikoni Sikujua ni kwa nini, Nilijua ushemeji tu, Kumbe kule mlikuwa mnayapanga ya kwenu Nyinyi mpaka umemteka Umekuwa gaidi juu Nimekubali ,nimekubali ,nimekubali Nitamwita shemeji oh Nimekubali ,nimekubali ,nimekubali Nitamwita shemeji Ah shemeji,eeh shemeji ,eh shemeji eeh Kila upande shemeji eeh Shemeji shemeji eeh Kishingo upande Mara oh tunaendana unaomba tusije kuachana eti Unatupendaga sana kumbe ulinichora Kumbe nyuki Mwenye laana kaniacha Manundu ya mchana nilivyobeep Kapiga tu mapema ukasepa na sinyora Oh kama masihara umemvisha na shela We mwana ni mbaya oh Ni mbaya sijui ulimpa dawa Au ndio hela ila yote sawa mi Nasema inshallah mungu atalipa ah Alivyopika chakul...

Diamond Plutnumz - Sikomi (Official Lyrics)

Diamond Platnumz "Sikomi" Verse 1 Wanasema mapenzi safari unavyopita Ndo jinsi unajongea Ila niendapo ni mbali sijui ka Ntafika sababu natembea Niliposikia habari yakisifika Nkakesha najongea ah Akabariki Jalali nami nikawika Muziki nikauotea Ile pru mpaka maka Nikandandiaga Bongo Movie Kumbe mapenzi hayataki haraka Ni kama tango natia tu chumvi Mwenzenu nkaoza haswa Nakujitia kitandani mjuzi Eti nataka fukuza paka badala Ya mbwa nikafuga mbuzi Wivu ukanifanya nikagombana na marafiki Ugomvi na mama angu akiniambia Siambiliki Moyo unaniambia Nasibu sasa mapenzi basi Ila nangangania najaribu kuipinga nafsi Esma ananiambia mdogo wangu Mapenzi basii Ila nangangania nikiumizwa na huyu Kesho nina mwingine Chorus Oh Mbona sikomi sikomi sikomi Licha ya mateso haya Najiuliza oh sikomi oh sikomi Mondi Sikomii Mola Jalali sikomi Licha ya mateso haya Verse 2 Alonifanyia wa central haki ya mungu Siyawezi sema, Ila nimejifunza kesho Siwaamini wacheza si...

Diamond Plutnumz - Niache (Official Lyrics)

Diamond Platnumz "Niache" Eti nikuombee mema Na baraka uzidi fanikiwa ah Siwezi kamwe wala mhh Ni sawa na kuiforce sinema Kuitazama na haijanivutia Lazima tu ntalala oh Na kwa barabara ukipita Naenda kulia ukiniona kushoto Sitaki hata tuonane mhh Usije wala ukaniita Donda vilia utanchochea tu moto Nisije nkutukane mhh Kinachoniumiza nafsi Kunisikitisha kwa watu Kujishongondoa kumbe mapenzi Sio watu wakati naezidisha mwenzangu Nje we unatoa Wewe simenti mimi mchanga kasema Penzi tujenge lisije loa Najitia mkandarasi naezeka mabati Wewe chini kenchi unabomoa Niache niache niache oh Niache niache Nipambane na moyo wangu niache Niache niache Moyo wangu una hasira Ohh niance niache Oh Najitahidi nisilale kwenye kitanda Huenda ntapunguza ndoto zako Mwilini nina machale utadhani mwanga Yote kusahau uwepo wako Laiti kama ningekuwa gari Ningekugonga barabarani Ama nyuki mtoa asali Nkungate sura wasiitamani Hivi wewe ungo ulivunja mwali Ama ulivun...

Ali Kiba - Maumivu Per Day (Official Lyrics)

Ali Kiba "Maumivu per Day " Verse 1 Kwa ile imani ya enzi za kale Mi nliamini ntakufa nawe Ila mimi sikulaumu wewe Kwani Mungu ndo apangayee Yale yote ya zama za kalee Mi nilipanga kuishi na wewe Mwenye hali nsiye na mali Wenye mali wakawa na wewee Hukunificha matendo yako Machafu uliniacha nione Bila kujua yalisaidiaa Nikazoea ila nikaumiaa Sababu bado nakuhitajii Kwangu muhimu ni kama maji Cha ajabu bado nakuhitaji Atayekutenda njo kwangu mimi Chorus Yani maumivu per day (yani maumivu per day) Yani maumivu per day (ni yaleyale ya per day) Yani maumivu per day (kichwa mawazo everyday) Yani maumivu per day (ni yaleyale ya per day) Yani maumivu per day (yani maumivu everyday) Yani maumivu per day (oohoo)... Verse 2 Uko moyoni mwangu we everyday Bado namwomba Mungu everyday Uko moyoni mwangu we everyday Everyday ever everyday Nsikuwaze wewe niwaze mengine Labda ntakuja penda mwingine Ninavyopata tabu ya dunia Na mwili wangu umekwisha pia Yote ...

Abdu Kiba ft Ali Kiba - Single (Official Lyrics)

Abdu Kiba "Single" (ft Ali Kiba) Sule ananaumia single Huwa anaonewa ,single yo single yo Sina nguvu utanifunga kamba kwenye reli Sina jinsi anajua bado nitapeli Ila hajui tu mazoea yana shida yake Na kila kitu sababu ni yeye yeye Nilikuwa na nalewa (single) Na raha ,(single) Nilikuwa nagawa pesa nyingi sana Nilikuwa nalewa (single) ,nalala (single) Nilikuwa nagawa pesa nyingi sana Single analia ,(single) anaumia (single) Single naonewa,single yo yoyo Single analia ,(single) anaumia (single) Single naonewa,single yo yoyo Hakuna mtu anapenda penzi la kejeli Na kila siku nilale huruma nafeli Na unajisifu,ulinikamata kweli kweli Mtakatifu umeumbwa kupendwa wewe Nilikuwa na raha sasa karaha sana Nimekuwa mtumwa Sababu ni wewe wewe Nilikuwa na raha sasa karaha Nimekuwa mtumwa Sababu ni wewe wewe Single analia ,(single) anaumia (single) Single naonewa,single yo yoyo Single analia ,(single) anaumia (single) Single naonewa,single yo yoyo Single analala...

Diamond Plutnumz ft Rick Ross - Waka (Official Lyrics)

Diamond Platnumz "Waka" (ft Rick Ross) Intro Wasafi May bach Music The black bottle boys Huh F–k you like nobody Su–ing your whole body F–king everyday at party Clean bi–h playing dirty Ooh! Verse 1 Before the night cut Light up the place And then we pop bottles Malaysian things Cause love is the thing That I have in my heart And its there for you African queen that I need and I want everyday is only you Leo Beki Kadaka kona Mwendo wa kreti Kwa nyama choma Bao kila mechi Ka Maradona Mtoto kashawaka I will sing alone Chorus Uuuh lalala Uuh lalala (Yeah we sing alone) Uuh lalala Uuuuh lalala Uuuuh lalala And we gon like Waka waka Waka waka Waka waka Waka waka Waka Waka Waka waka Waka waka Waka waka Waka waka Waka waka Verse 2 – Rick Ross Waka waka waka Maybach Music Running with the young king Biggest boss everywhere we go We run the streets’ Never gossiping I’m only with the big talk Black bottles...

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

RayVanny ft Dj Maphorisa & Dj Buckz - Makulusa (Official Lyrics)

Ray Vanny "Makulusa" (ft Maphorisa & DJ Buckz ) Olalala olalala olalala olalala Hehee Vanny Boy hehehe Vanny Boy Kipotabo kama Daina hana shepu ya birika She got the eyes from China Hips from America Eh my baby she’s fina she de rock designer Eh twende chumbani tena gizani Nipige base la maina Eh my baby I am feelin your somethin And tonight I’m ready Only you that I’m wantin aah Njo tuchanganye zege Simentina udongo ngongo Mwendo wako wa matege Huko nyuma mgongongo Dance makulusa eeh dance ngongongo Dance makulusa eeh dance ngongongo Dance makulusa eeh dance ngongongo Dance makulusa eeh dance Hela hela (hela) washe labaleshi (hela) Otashe kotaleshi (hela) ntapuneka shoni (hela) Hela hela (hela) washe labaleshi (hela) Otashe kotaleshi (hela) ntapuneka shoni (hela) namelekoni One love my lovee unconditional Angekoti style original Say what u need (my lover) Baby wanna be (my lover) Eh it’s you and me (my lover) Baby can confuse (...

Krizbeatz ft Yemi Alade & Harmonize - 911(Official Lyrics)

Krizbeatz "911" (ft Yemi Alade & Harmonize) Sigobe prapa gobe (Yemi Alade) Olele oh olele olele oh olele Somebody call 911 As you de looki at me sendi medicine I want you to give me medicine Panadol sitamol anything for yo girl give me more ah Panadol sitamol anything for yo girl give me more eh eh Panadol sitamol anything for yo girl give me more eh Panadol sitamol anything, anything Olele oh Oh boy I geti degree my temperature is calling for thee Whatever your degree Oh baby I go give it to you give it to you Oh boy it don dey increase I know you see sometin in me I beg come and give me eeh eh baby I no de go to hospital nonono biko you fit cure this temperature Nanadi dadada nanadi dadada I no de go to hospital nonono biko you fit cure this temperature Nanaadi dadada nanadi dadada Sigobe Panadol sitamol anything for yo girl give me more ah Panadol sitamol anything for yo girl give me more eh eh Panadol sitamol anything for yo girl give me more ...

Gigy Money - Papa (Official Lyrics)

Gigy Money "Papa" Nampa nampa nampa papa Nampa nampa nampa papa Nampa nampa nampa papa Nampa nampa nampa papa Akitaka na ugali wa dona namsongea Atake nini tena namtendea Tiba yaki daktari napona Naacha magongo natembea Atake nini tena Sijawaga na mapene Napenda safari Zile rhumba masebene Motema na ngai Natamani aseme anachotaka nimpatie Natamani ailoeshe navyokata nimpatie Na si anapendaga sana samaki we mpatie Nampa papa Sangara Kibua haitoshi we mpatie Nampa papa Nampa nampa nampa papa Nampa nampa nampa papa Nampa nampa nampa papa Nampa nampa nampa papa Shida inakuja wakiniona nae wananuna eeh Kwenye stori zetu nikimtajaga ee wanauchuna ee Hata kwenye simu yangu ukipijaga we wanaguna ee Wamekusema ni uvumilivu wala huruma ee Hawajui nimenasa mie Namba tasa mie Ye funguo na kitasa mie Natamani aseme anachotaka nimpatie Natamani ailoeshe navyokata nimpatie Na si anapendaga sana samaki we mpatie Nampa papa Sangara, kibua haitoshi we mpatie...

Nandy - Kivuruge (Official Lyrics)

Nandy "Kivuruge" Ulienipa maumivu me kama nyang'au Na tena maumivu dawa ninywe vidonge Kwa marafiki mashosti ukanidharau Ukanitia uvivu stress niwe mnyonge Oh oho ulie nipa maumivu me kama nyang'au Na tena maumivu dawa ninywe vidonge, hmm Kwa marafiki mashosti ukanidharau Ukanitia uvivu stress niwe mnyonge Leo sina thamani ndo maana Unawafata milupo oh baba Leo sina thamani eeeh ndo maana Unawafata milupo oh baba, we niache Nitapona mdogo mdogo nitapona (niache niende salama) Nitapona mdogo mdogo nitapona (we niache) Nitapona mdogo mdogo nitapona (niache niende salama) Nitapona mdogo mdogo nitapona (aaah ooh) Mara ugomvi unakurupua unanitukana mimi Hata zawadi nikikuretea hausemi asante Tena na share hata bila kujua wewe uridhiki kwa nini Kuna wakati nilijisumbua mwenzangu usiwaze Kwangu moyo we unauchanganya a Umekuwa kivuruge unavuruga sana baba we Kitugani kwako mi sijafanya, eeeh Ama kuna mtu mnapendana sana Leo sina thamani ndo maana Un...

RayVanny ft Nikki Wa Pili - Siri (Official Lyrics)

Ray Vanny "Siri" (ft Niki Wa Pili) Nimeanza safari ya mapenzi na wewe Usiikatishe eeh Mungu mwema Baba Mbali atufikishe eeh Mimi ni Binadamu nakosea Nikiteleza usiuzunike eeh Milele mwanadada nikifa unizike Kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu Natamka ni wewe Taswira pekee kwenye ndoto zangu Mama Nifariji pekee nikiwa na chozi langu Mama Ni wewe Imenishinda siri kifuani mwangu Aaah Nikupeleke nyumbani kwetu Sheri eeeh Ukawajue na ndugu zangu Mama aah Unipeleke nyumbani kwenu Bibi wewe Nikawaone Shemeji zangu mamaa Siri ya nini Siri Nini maana yake siri Siri ya nini siri Nini hasara zake siri Siri ooh siri Mapenzi ya siri hii Ooh mama Roda Oooh mama Roro ooh mama Roda Mama nipe utamu kabla hujatamka Usingizi sicum mpaka tukiamka Ni siri hizi Kakonko Twende kamara Kibilizi Mapaja yake utamu michirizi Michepuko imenuna imezira siri siri Na wewe ni kachumbari mayonnize pilipili Pili pili manga tunakili kili wanga Kilimanjaro nyumbani kwetu K...