Skip to main content

Diamond Plutnumz - Sikomi (Official Lyrics)

Diamond Platnumz
"Sikomi"
Verse 1
Wanasema mapenzi safari unavyopita
Ndo jinsi unajongea
Ila niendapo ni mbali sijui ka
Ntafika sababu natembea
Niliposikia habari yakisifika
Nkakesha najongea ah
Akabariki Jalali nami nikawika
Muziki nikauotea
Ile pru mpaka maka
Nikandandiaga Bongo Movie
Kumbe mapenzi hayataki haraka
Ni kama tango natia tu chumvi
Mwenzenu nkaoza haswa
Nakujitia kitandani mjuzi
Eti nataka fukuza paka badala
Ya mbwa nikafuga mbuzi
Wivu ukanifanya nikagombana na marafiki
Ugomvi na mama angu akiniambia
Siambiliki
Moyo unaniambia Nasibu sasa mapenzi basi
Ila nangangania najaribu kuipinga nafsi
Esma ananiambia mdogo wangu
Mapenzi basii
Ila nangangania nikiumizwa na huyu
Kesho nina mwingine
Chorus
Oh Mbona sikomi sikomi sikomi
Licha ya mateso haya
Najiuliza oh sikomi oh sikomi Mondi
Sikomii Mola Jalali sikomi
Licha ya mateso haya
Verse 2
Alonifanyia wa central haki ya mungu
Siyawezi sema, Ila nimejifunza kesho
Siwaamini wacheza sinema
Moyo waliupatia mateso
Siwezi meza siwezi tema
Ndo maana sikushangaa ile ghafla
Toka ccm kwenda chadema
Wanasema kitanda ukitandika sharti ukilalie
Nikajitia ukamanda yatakwisha wacha nivumilie
Kila kiza kikitanda ndo
Visa machozi mimi nilie
Penzi akatia parapanda
Kuwaita waje washambulie
Acha na Penny wa hidari
Niliemuongaga gari
Aliponiambia ana mimba mwisho wa siku
Akaichomoa chari
Mola akantunuku Zari
Akanzalia dume na mwari
Nilivyomjinga nkacheat
Aibu mpaka kwa vyombo vya habari
Moyo unaniambia Nasibu sasa mapenzi basi
Ila nangangania najaribu kuipinga nafsi
Lizer ananiambia Simba
Mapenzi basii
Ila nangangania nikiumizwa na huyu
Kesho nina mwingine
Chorus
Oh Mbona sikomi sikomi sikomi
Licha ya mateso haya
Najiuliza oh sikomi oh sikomi Mondi
Sikomii Mola Jalali sikomi
Licha ya mateso haya

Comments

Popular posts from this blog

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...