Gigy Money
"Papa"
Nampa nampa nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Akitaka na ugali wa dona namsongea
Atake nini tena namtendea
Tiba yaki daktari napona
Naacha magongo natembea
Atake nini tena
Sijawaga na mapene
Napenda safari
Zile rhumba masebene
Motema na ngai
Natamani aseme anachotaka nimpatie
Natamani ailoeshe navyokata nimpatie
Na si anapendaga sana samaki we mpatie
Nampa papa
Sangara Kibua haitoshi we mpatie
Nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Shida inakuja wakiniona nae wananuna eeh
Kwenye stori zetu nikimtajaga ee wanauchuna ee
Hata kwenye simu yangu ukipijaga we wanaguna ee
Wamekusema ni uvumilivu wala huruma ee
Hawajui nimenasa mie
Namba tasa mie
Ye funguo na kitasa mie
Natamani aseme anachotaka nimpatie
Natamani ailoeshe navyokata nimpatie
Na si anapendaga sana samaki we mpatie
Nampa papa
Sangara, kibua haitoshi we mpatie
Nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Nampa nampa nampa nampa papa
Na si anapendaga sana samaki we mpatie
Nampa papa
Sangara, kibua haitoshi we mpatie
Nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Nampa nampa nampa papa
Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...
Comments
Post a Comment