Baraka Da Prince
"Sometimes"
Intro
T ongeza sauti kidogo Mmmh
Na Mr.T Tanzania(Touch)
{Bana….}
Verse 1
Mateso ni moja yaliyo mapito yangu,
Maumivu ni moja kati yangazi zangu,
Na hayazui macho kupenda yakipenda,
Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa,
Najua hauamini nakupenda……………,
Nisicho pinga mimi nakupenda……….,
Mwenzio ninachoamini nakupenda……..,
Sibishani na roho silipingi hilo,
Pre-Chorus
Nagombo hagombo hainya hee,
Hateli hateli ndalawa hee,
Mondine mondine mama wangee,
Naukinio mama….,
Legombo hagombo hainya hee,
Hateli hateli ndalawa hee,
Mondine mondine nenyiteliwahee,
Naukinio mama….,
(Uwoohoo)
Chorus
Sometimes I miss you(Ooh Mama),
Sometimes I miss you(Kipenzi changu),
Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho),
Sometimes I miss you,
Sometimes I miss you(Sometimes mama),
Sometimes I miss you(eheeeee),
Verse 2
Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu,
Bado haijwa late naomba ikutouch utakapoona chozi langu,
Popote ilipo kama iwe tv au redioni ukinisikia,
Kwamboni zangu mama mara nyingi picha zako hunirudia,
Naninacho amini nakupenda sana japo hukuthamini,
Prepeared by Turbin from skiizat.com,
Kwangu ukaondoka we hee,
Mi masikini roho yangu,ikahisi kufa kwa matendo yale,
kutokuwa na busara kwa penzi langu,
Ukanihukumu na wangu upole,
Ila popote ulipo jua heee,
Chorus
Sometimes I miss you(Ooh Mama),
Sometimes I miss you(Kipenzi changu),
Sometimes I miss you(usingizi niwe mchana au usiku),
Sometimes I miss you(Oh Jamani),
Sometimes I miss you(wewe ndio ugonjwa wangu),
Sometimes I miss you(we kilicho kisugua roho),
Bridge
Na ukisikia imetoka nafsi yangu(sababu ni wewe),
Jua(Sababu ni wewe),Oh Mama(Sababu ni wewe),
Na umeifanya pombe iwe pacha kwangu(Chanzo ni wewe),
Cha kulewa(chanzo ni wewe),Jua(Chanzo ni wewe),
Outro
Heeeyeiyeeeeiye… Hiiiiiiiiye……
Oh chanzo ni wewe(iyeeeeiye),Hiiiiiiii,
Na ukisikia imetoka nafsi yangu,
Jua(Oh Mama),
Na umeifanya pombe iwe pacha kwangu,
Cha kulewa
Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...
Comments
Post a Comment