Barnaba ft Aslay Ngomma Lyrics Iyaka…alelelelele nisange na ngoma iyo Nisange na ngoma iyo mama (nisange na ngoma iyo) Nisange na ngoma iyo mama (nikute na ngoma iyo) Nikute na ngoma iyo (maria) maria mama Nisange na ngoma iyo Nisange na ngoma iyo maria mwanangu Nilimujaza tumbo mama yak ah Mama akakuleka mwanae oh sasa umekua mama hmm Nisange na ngoma hiyo Isa isange na ngoma hiyo mamamama (nikute na ngoma hiyo) Sasa umekua mamamama (maria mama) Nisange na ngoma hiyo Yale tuliokufunza mie na bibi yako (nisange na ngoma iyo) Uende ushike ukatunze nyumba yako (nikute na ngoma iyo) Nikute nango nikute na ngoma mamamama (maria mama nisange na ngoma iyo) Kwa sasa umekua utatusaidia ninganachotegemea utatusaidia Na kakayo elimu sina na wewe ndo nakutegemea maria Maria we (nisange na ngoma iyo) Si unajua uchungu wa mzazi dada maria (nikute na ngoma iyo) Atakuja atakumwaga razi kisha utali chunga Vibarazani watacheza karata mastela Dada linda ndoa yako mumeo asirudi kua bachelor Watakutamani waone undani wako Dada linda uwa lako mpende mume wakoo mume wako (nisange na ngoma iyo) Isa isange na ngoma hiyo mamamama (nikute na ngoma iyo) Sasa umekua mamamama (maria mama) Nisange na ngoma iyo Yale tuliokufunza mie na bibi yako (nisange na ngoma iyo) Uende ushike ukatunze nyumba yako (nikute na ngoma iyo) Nikute nango nikute na ngoma mamamama ( maria mama) aiyoo Maria kelele kwa mumeo chunga Maria si mudogo tena ungo umevunja (maria mwana lele) Hivo viziwa dedede chunga wasikubebe Zama za ukweli na uwaze maria mwanangu (ohoho) Na mumeo harogwi na dumba mwanangu Anarogwa na madikodiko mama Akirudi anafunua sambusa mara vitumbua Chakula kijaungua ndo sifa ya mwanamke mwanangu Sa sange na ngoma hiyo mama (nikute na ngoma iyo) Nenda salama dada (maria mama nisange na ngoma iyo) Sange na ngoma hiyo mama (nisange na ngoma iyo) Maria nitakumiss sana dada (nikute na ngoma iyo) Oh dada (maria mama ) nisange na ngoma iyee
Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...
Comments
Post a Comment