Skip to main content

Aslay - Mario Lyrics

Aslay - Mario Lyrics Baby nipe nikatumie nisipodeka kwako nikadeke kwa wapi mie Nataka gari uninunulie nataka pamba kali nipendeze Na mimi wanisifie wanisifie Mi kitandani fundi nafanya unalia kama bundi Huo wivu wako sipendi nipe pesa mi nikale tunyi Nakufundisha mapenzi japo una umri washangaza Nakudatisha kichizi mpaka mumeo unamuona makuzi eh Napatapata vitisho nikiwa kitaani Mumeo anataka kuniua eti kisa nini eh Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi Ila akitaka ndondi aende ulingoni badae Nibebe kwa mbeleko kama mtotoo kama mtoto Nipe pesa nikupe ukitakachoo ukitakacho Nibebe kwa mbeleko kama mtotoo kama mtoto Nipe pesa nikupe ukitakachoo Oyi eeh mama anataka pesa hana aliniomba toka jana Anataka sare aende zake kwenye ngoma Mmh basi mpe si umependa mboga penda na ua lake Akinuna atafanya zifungwe rizki zote Napatapata vitisho nikiwa kitaani Mumeo anataka kuniua eti kisa nini eh Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi Ila akitaka ndondi aende ulingoni badae Nibebe kwa mbeleko kama mtotoo kama mtoto Nipe pesa nikupe ukitakachoo ukitakacho Nibebe kwa mbeleko kama mtotoo kama mtoto Nipe pesa nikupe ukitakachoo Ah mi ndio Mario Mario mi ndio Mario tabibu mkubwa wa penzi lako Mi ndio Mario ah Mario mi ndio Mario tabibu mkubwa wa penzi lako

Comments

Popular posts from this blog

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...