Skip to main content

RayVanny ft Nikki Wa Pili - Siri (Official Lyrics)

Ray Vanny
"Siri"
(ft Niki Wa Pili)
Nimeanza safari ya mapenzi na wewe
Usiikatishe eeh Mungu mwema Baba
Mbali atufikishe eeh
Mimi ni Binadamu nakosea
Nikiteleza usiuzunike eeh
Milele mwanadada nikifa unizike
Kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu
Natamka ni wewe
Taswira pekee kwenye ndoto zangu
Mama
Nifariji pekee nikiwa na chozi langu
Mama Ni wewe
Imenishinda siri kifuani mwangu
Aaah
Nikupeleke nyumbani kwetu
Sheri eeeh
Ukawajue na ndugu zangu
Mama aah
Unipeleke nyumbani kwenu
Bibi wewe Nikawaone
Shemeji zangu mamaa
Siri ya nini Siri
Nini maana yake siri
Siri ya nini siri
Nini hasara zake siri
Siri ooh siri
Mapenzi ya siri hii
Ooh mama Roda
Oooh mama Roro
ooh mama Roda
Mama nipe utamu kabla hujatamka
Usingizi sicum mpaka tukiamka
Ni siri hizi Kakonko
Twende kamara Kibilizi
Mapaja yake utamu michirizi
Michepuko imenuna imezira siri siri
Na wewe ni kachumbari mayonnize pilipili
Pili pili manga tunakili kili wanga
Kilimanjaro nyumbani kwetu Kisimiri mwanga
Simama Nikki simama wima
Siri ni kilele nikufikishe kwa kina
Umebeba beba mkungu wa Muleba
Uchungu kama kwao wakajifungue leba
Umebeba beba mkungu wa Muleba
Uchungu kama kwao wakajifungue leba
Oh mama Roda
Mama Roro kwako sijiwezi
Oh Mama Roro sitoficha mdudu mapenzi
Oh Mama Roda
Mama Roro kwako sijiwezi
Oh Mama Roro Mama Roro ooh
Kwenye ka moyo mimi sina siri
Acha nikutaje ka jina siri
Wajue wenye fitina siri
Jembe nipo nalima Siri
Basi nawe usifiche mama (Siri)
Sema watupishe na (Siri)
Vichefuchefu watapishe ma (Siri)
Penzi letu lisishe ma (siri)
Mimi na wewe
Owe owe oh
owe owe oha
Owe owe oh
Owe owe oha
Siri ya nini (owe owe ooh)
Nini maana yake (owe owe oha)
Siri ya nini (owe owe ooh)
Nini hasara zake (owe owe oha)

Comments

Popular posts from this blog

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...