Nandy
"Kivuruge"
Ulienipa maumivu me kama nyang'au
Na tena maumivu dawa ninywe vidonge
Kwa marafiki mashosti ukanidharau
Ukanitia uvivu stress niwe mnyonge
Oh oho ulie nipa maumivu me kama nyang'au
Na tena maumivu dawa ninywe vidonge, hmm
Kwa marafiki mashosti ukanidharau
Ukanitia uvivu stress niwe mnyonge
Leo sina thamani ndo maana
Unawafata milupo oh baba
Leo sina thamani eeeh ndo maana
Unawafata milupo oh baba, we niache
Nitapona mdogo mdogo nitapona (niache niende salama)
Nitapona mdogo mdogo nitapona (we niache)
Nitapona mdogo mdogo nitapona (niache niende salama)
Nitapona mdogo mdogo nitapona (aaah ooh)
Mara ugomvi unakurupua unanitukana mimi
Hata zawadi nikikuretea hausemi asante
Tena na share hata bila kujua wewe uridhiki kwa nini
Kuna wakati nilijisumbua mwenzangu usiwaze
Kwangu moyo we unauchanganya a
Umekuwa kivuruge unavuruga sana baba we
Kitugani kwako mi sijafanya, eeeh
Ama kuna mtu mnapendana sana
Leo sina thamani ndo maana
Unawafata ma sister duu ooh baba
Leo sina thamani eeh ndo maana
Unawafata ma sister duu ooh baba, we niache
Nitapona mdogo mdogo nitapona (niache)
Nitapona mdogo mdogo nitapona (nitapona kidogo kidogo)
Nitapona mdogo mdogo nitapona (nitapona mimi)
Nitapona mdogo mdogo nitapona
Aiyoyoiyoooh
Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...
Comments
Post a Comment