Ali Kiba
"Maumivu per Day "
Verse 1
Kwa ile imani ya enzi za kale
Mi nliamini ntakufa nawe
Ila mimi sikulaumu wewe
Kwani Mungu ndo apangayee
Yale yote ya zama za kalee
Mi nilipanga kuishi na wewe
Mwenye hali nsiye na mali
Wenye mali wakawa na wewee
Hukunificha matendo yako
Machafu uliniacha nione
Bila kujua yalisaidiaa
Nikazoea ila nikaumiaa
Sababu bado nakuhitajii
Kwangu muhimu ni kama maji
Cha ajabu bado nakuhitaji
Atayekutenda njo kwangu mimi
Chorus
Yani maumivu per day (yani maumivu per day)
Yani maumivu per day (ni yaleyale ya per day)
Yani maumivu per day (kichwa mawazo everyday)
Yani maumivu per day (ni yaleyale ya per day)
Yani maumivu per day (yani maumivu everyday)
Yani maumivu per day (oohoo)...
Verse 2
Uko moyoni mwangu we everyday
Bado namwomba Mungu everyday
Uko moyoni mwangu we everyday
Everyday ever everyday
Nsikuwaze wewe niwaze mengine
Labda ntakuja penda mwingine
Ninavyopata tabu ya dunia
Na mwili wangu umekwisha pia
Yote malipo ya kupendaa
Anayependa mwisho atatendwaa
Sababu bado nakuhitajii
Kwangu muhimu ni kama maji
Cha ajabu bado nakuhitaji
Atayekutenda njo kwangu mimi
Chorus
Yani maumivu per day (yani maumivu per day)
Yani maumivu per day (ni yaleyale ya per day)
Yani maumivu per day (kichwa mawazo everyday)
Yani maumivu per day (ni yaleyale ya per day)
Yani maumivu per day (yani maumivu everyday)
Yani maumivu per day (oohoo)...
Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...
Comments
Post a Comment