Ray Vanny
"Makulusa"
(ft Maphorisa & DJ Buckz )
Olalala olalala olalala olalala
Hehee Vanny Boy hehehe Vanny Boy
Kipotabo kama Daina hana shepu ya birika
She got the eyes from China
Hips from America
Eh my baby she’s fina she de rock designer
Eh twende chumbani tena gizani
Nipige base la maina
Eh my baby I am feelin your somethin
And tonight I’m ready
Only you that I’m wantin aah
Njo tuchanganye zege
Simentina udongo ngongo
Mwendo wako wa matege
Huko nyuma mgongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Otashe kotaleshi (hela) ntapuneka shoni (hela)
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Otashe kotaleshi (hela) ntapuneka shoni (hela) namelekoni
One love my lovee unconditional
Angekoti style original
Say what u need (my lover)
Baby wanna be (my lover)
Eh it’s you and me (my lover)
Baby can confuse (my lover)
The way you move your body oh
Ngawe tamusali oh ye
I wanna be your baby daddy oh
I wanna be your super mani oh
Come to meee (yeah) baby girl come to me
Abc baby come get the di…
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Washe kotaleshi (hela) ntakuneka shoni (hela)
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Washe kotaleshi (hela) ntakuneka shoni (hela) naemelekoni
Love the way you ride me like a stallion
Without you baby I no fit carry on
Baby you my (casta wee sanjali on?) eeh
All I want you to be is my companion eh
Versace gucci and dolce and gabana
Kapendeza kufananana
Nicki Minaj Karrueche na Vianna
Hawakupati kimwana
Sometin you give me that sometin
You know I want that sometin
kopelada sometin
Versace gucci and dolce and gabana
Kapendeza kufananana
Nicki Minaj Karrueche na Vianna
Hawakupati kimwana
Sometin you give me that sometin
You know I want that sometin eh
Kopelada sometin
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance ngongongo
Dance makulusa eeh dance
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Washe kotaleshi (hela) ntapuneka shoni (hela)
Hela hela (hela) washe labaleshi (hela)
Washe kotaleshi (hela) ntakuneka shoni (hela) naemelekoni
Olalala olalala olalala olalala
Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...
Comments
Post a Comment