Abdu Kiba
"Single"
(ft Ali Kiba)
Sule ananaumia single
Huwa anaonewa ,single yo single yo
Sina nguvu utanifunga kamba kwenye reli
Sina jinsi anajua bado nitapeli
Ila hajui tu mazoea yana shida yake
Na kila kitu sababu ni yeye yeye
Nilikuwa na nalewa (single)
Na raha ,(single)
Nilikuwa nagawa pesa nyingi sana
Nilikuwa nalewa (single) ,nalala (single)
Nilikuwa nagawa pesa nyingi sana
Single analia ,(single) anaumia (single)
Single naonewa,single yo yoyo
Single analia ,(single) anaumia (single)
Single naonewa,single yo yoyo
Hakuna mtu anapenda penzi la kejeli
Na kila siku nilale huruma nafeli
Na unajisifu,ulinikamata kweli kweli
Mtakatifu umeumbwa kupendwa wewe
Nilikuwa na raha sasa karaha sana
Nimekuwa mtumwa
Sababu ni wewe wewe
Nilikuwa na raha sasa karaha
Nimekuwa mtumwa
Sababu ni wewe wewe
Single analia ,(single) anaumia (single)
Single naonewa,single yo yoyo
Single analia ,(single) anaumia (single)
Single naonewa,single yo yoyo
Single analala,single analalamika
Anaumia sana oh
Single anaumia single
Single anaonewa
Single analalamika
Single anaonewa
Single yo single yo eih
Single analalamika sana
Single anaonewa
Single yo single yo
Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...
Comments
Post a Comment