Skip to main content

Harmonize ft Diamond Plutnumz - Kwa Ngwaru Lyrics

[Verse 1 : Harmonize]
Hhhhmm!
I wish ningekuwaga na mavumba
Mkwanja manoti
Nikuhonge vya thamani
Ama niwe fundi wa kuigiza ka Kanumba
Masanja Joti usiwe mbali nami
Hhhhhmm
My Darling I need you love
Uwe namii Haki ya Mungu Nakupenda
Nobody can show you love
Usiwaamini ukishawapa wanakwenda
[Bridge : Harmonize]
Ooh! Basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Deka nikudekeze nikutunze kama mboni (iyelewi)
Wakija wapoteze jifanye kama huawoni (iyelewi)
Kisha Uniongeze ulivyofunzwa unyangoni (iyelewi)
[Chorus : Harmonize]
Ooh Baby
Asa dance nikuone (Kwa Ngwaru)
Wabanwe choo (Kwa Ngwaru)
Uno la feni (Kwa Ngwaru)
Ooh Baby
Asa cheza nikuone (Kwa Ngwaru)
Wabanwe choo (Kwa Ngwaru)
Basi cheza na mimi (Kwa Ngwaru)
[Verse 2 : Diamond Platnumz]
Aaagah
Moyo wangu wa muarobaini
Mchungu ukiuziwa
Samehe mara sabini
Huo uzungu sija jaaliwa
Ungependa juu ama chini
Kwenye uvungu uparemiwa
Nkumbatie baridini
Kwenye tundu kama njiwa
Moyo wangu mie wa makuti
Usinijie na kibiriti (Hasa weee)
Penzi likageuka chuki
Nyumba ikawa kibiti (Hasa weee)
Nipatie vya kitandani
Nipe mpaka kwenye kiti (Hasa weee)
Ila asiniingie shetani
Nawe nkaja kukucheat
[Bridge : Diamond Platnumz]
Ooh Basi jilegeze
Nikubebe mgongoni (iyelewi)
Kitandani nikoleze
Kwa miuno ya kingoni (iyelewi)
Kisha nibembeleze
Nirudishe utotoni (iyelewi)
Weka mate niteleze
Kama nyoka pangoni (iyelewi)
[Chorus : Diamond Platnumz & Harmonize]
Ooh Baby
Asa dance kidogo (Kwa Ngwaru)
Oh! Wabanwe choo (Kwa Ngwaru)
Uno la feni (Kwa Ngwaru)
Ooh! Baby
Asa cheza nikuone (Kwa Ngwaru)
Wabanwe choo (Kwa Ngwaru)
Basi cheza na mimi (Kwa Ngwaru)
[Outro : Diamond Platnumz & Harmonize]
Aaagah
Unataka kucheza chura na ingali umesimama
Aaah Inama Inama
Asa waonyeshe (Aaah Inama Inama)
Unachezaje (Aaah Inama Inama)
Unataka maji ya kisima na mboga kuchutama
Aaah Inama Inama
Ebu waonyeshe (Aaah Inama Inama)
Unachotaje (Aaah Inama Inama)
Unataka kupiga deki wima umesimama
Aaah Inama Inama
Ebu tuonyeshe (Aaah Inama Inama)
Unapigaje (Aaah Inama Inama)
Si unataka vya Pool table sa mbona unajibana
Aaah Inama Inama
Ebu tuonyeshe (Aaah Inama Inama)
Unalengaje (Aaah Inama Inama)
Wasafi Record
Yeeeeh!
Oya wanangu wa kigogo (Aaah Inama)
Nipe za Mose Iyobo (Aaah Inama)
Vunja vunja kidogo (Aaah Inama)
Aah niongeze mikogo (Aaah Inama Inama)

Comments

Popular posts from this blog

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...