Skip to main content

Diamond Plutnumz - Sijaona Lyrics

[Verse 1]
Agaah!
Ati niende kwa mganga
Ntoe doti za kanga
Ama nikufunge kamba
Ntadanganya mie eeh!
Aah!
Nyumbani nifuge mamba
Mara mlinzi kwa panga
Kuchunga usije danga
Uwongo nisikwambie
[Bridge]
Hhhmm!
Moyo wangu
Usiufanye njia ooh!
Ukapita
Ooh! nitaumia
Shamba langu
Wakanivunia Ooh!
Yote tisa
Ukanibeza na kukimbia
Tena unga ujengezi
Usitishe na sanaa
Ukaninyima malezi
Nikakosa hata raha
Aah!
Nikaanza kuvunja nazi
Kutwa kuchwa kafara aah!
Nililie kipenzi
Yakukunda Ooh!
Karaha
[Chorus]
Ooh!
Sijaona
SIjaona
Sijaona
Kama wewe
Hhhmm juwa mimi
Sijaona (Sijaona mimi)
Sijaona (Sijaona bado)
Sijaona
Kama wewe
[Verse 2]
Hhhmm Aaah!
Refa kapiga kipenga
Ronaldo punguza chenga
Kuku tulia kwa tenga
Mbwembwe tupa kule
Aah!
Na upunguze kujiremba
Wasije wakakupenda
Kuna warabu wapemba
Ukanisusa bure
Nisiwe napata tabu
Chemsha mawe
Kumaliza kuni eeh!
Kumbe kung'aa dhahabu
Kuichoma sio sabuni
Nishajipaga moyo
Wewe ndio mwisho wa reli
Basi jifunze choyo
Wasije nikejeli
Uwezo wangu wa toyo mie
Sijafikia meli
Acha wacheze loyal
Sie kwetu singeli
[Bridge]
Ooh!
Moyo wangu
Usiufanye njia ooh!
Ukapita
Sana nitaumia
Shamba langu
Wakanivunia Ooh!
Kesho wakaja kukuteka
Na matusi kunitupia
Juwa mwenzako mimi
[Chorus]
Ooh!
Sijaona (Bado mimi)
SIjaona (Mwenzio mimi)
Sijaona (Sijaona)
Kama wewe
Unajua mimi
Sijaona (Unajua mimi)
Sijaona (Sijaona mimi)
Sijaona
Kama wewe
[Outro]
Agah!
Hasa Mose Kunambi
Alele (Alele Alee)
Alele (Alele Alee)
Alele (Alele Alee)
Agah Mkubwa Fella
Alele (Alele Alee)
Alele (Alele Alee)
Alele (Alele Alee)
Agah!
Tiffah Dangote
Alele (Alele Alee)
Alele (Alele Alee)
Alele (Alele Alee)
Agah!
Makame Fumbwe
Alele (Alele Alee)
Alele (Alele Alee)
Alele (Alele Alee)

Comments

Popular posts from this blog

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...