[Verse 1]
Hhhmm
Mangapi niliona
Wala sikujali
Nikafumba macho
Hhhmm!
Na tena yaliyonchoma
Maumivu makali
Manyanyaso
Hhhmm!
Si mzima wa nafsi
Siwezi kudanganya
Uwepo wako
Unanifanya nalia
Fanya urudi basi
Japo kuntazama
Oh! me mwenzako
Ukweli naumia
[Bridge]
Kinachiniongeza kizunguzungu
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikimuomba Mungu
Wallah simanzi
Kinachoniongeza mawazo
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikilalamika
Njoo basi nikuone
[Chorus]
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Nikuone mama)
Ukowapi nikuone
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Japo nipone)
Nikuone (Niiiikuone)
[Hook]
Ooh na roho yangu inaenda
Manjegere Manjegere Manjegere
Aah roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Nimekukumbuka sana ooh!
Manjegere Manjegere Manjegere
Mwenzio roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Hata silali
[Verse 2]
Kutwa nzima nawaza
Kisa nini darling
Kama sikukupa raha
Bado sijajua
Namaliza naianza
Nijapo tafakari
Njoo uniwashie taa
Kiza kitaniua
Muda mwingine nakesha tuu macho
Usingizi sina
Ikinijiaga tu sura yako
Huwa nazizizma
Mpaka nashikwa
Kigagaziko hata maneno kuyaongea
Yote sababu ya masikitiko
Haki ya Mungu unanionea
[Bridge]
Kinachiniongeza kizunguzungu
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikimuomba Mungu
Wallah simanzi
Kinachoniongeza mawazo
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikilalamika
Njoo basi nikuone
[Chorus]
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Njoo basi Nikuone)
Nikuone (Nikuone mama)
Ukowapi nikuone
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Eeh Eeh eh nipone)
Nikuone (Niiiikuone)
[Hook]
Ooh na roho yangu inaenda
Manjegere Manjegere Manjegere
Aah roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Nimekukumbuka sana ooh!
Manjegere Manjegere Manjegere
Hhhm me Mwenzio roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Hata silali
[Outro]
Niliyoyasikia ya leo
Makubwa..!
Afadhali ya jana
Makubwa..!
Huwaga naona kwa video
Makubwa..!
Aaah Ah!
Ni mazito mama
Niliyoyasikia ya leo
Makubwa..!
Afadhali ya jana
Makubwa..!
Huwaga naona kwa video
Ooh na roho yangu inaenda
Manjegere
Nimekukumbuka sana ooh!
Manjegere Manjegere Manjegere
Hhhm me Mwenzio roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Eeeh Eeh!
Hata silali
Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...
Comments
Post a Comment