Skip to main content

Diamond Plutnumz - Nikuone Lyrics

[Verse 1]
Hhhmm
Mangapi niliona
Wala sikujali
Nikafumba macho
Hhhmm!
Na tena yaliyonchoma
Maumivu makali
Manyanyaso
Hhhmm!
Si mzima wa nafsi
Siwezi kudanganya
Uwepo wako
Unanifanya nalia
Fanya urudi basi
Japo kuntazama
Oh! me mwenzako
Ukweli naumia
[Bridge]
Kinachiniongeza kizunguzungu
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikimuomba Mungu
Wallah simanzi
Kinachoniongeza mawazo
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikilalamika
Njoo basi nikuone
[Chorus]
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Nikuone mama)
Ukowapi nikuone
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Japo nipone)
Nikuone (Niiiikuone)
[Hook]
Ooh na roho yangu inaenda
Manjegere Manjegere Manjegere
Aah roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Nimekukumbuka sana ooh!
Manjegere Manjegere Manjegere
Mwenzio roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Hata silali
[Verse 2]
Kutwa nzima nawaza
Kisa nini darling
Kama sikukupa raha
Bado sijajua
Namaliza naianza
Nijapo tafakari
Njoo uniwashie taa
Kiza kitaniua
Muda mwingine nakesha tuu macho
Usingizi sina
Ikinijiaga tu sura yako
Huwa nazizizma
Mpaka nashikwa
Kigagaziko hata maneno kuyaongea
Yote sababu ya masikitiko
Haki ya Mungu unanionea
[Bridge]
Kinachiniongeza kizunguzungu
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikimuomba Mungu
Wallah simanzi
Kinachoniongeza mawazo
Hata huniwazi
Kutwa nakesha nikilalamika
Njoo basi nikuone
[Chorus]
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Njoo basi Nikuone)
Nikuone (Nikuone mama)
Ukowapi nikuone
Nikuone (Nikuone)
Nikuone (Eeh Eeh eh nipone)
Nikuone (Niiiikuone)
[Hook]
Ooh na roho yangu inaenda
Manjegere Manjegere Manjegere
Aah roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Nimekukumbuka sana ooh!
Manjegere Manjegere Manjegere
Hhhm me Mwenzio roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Hata silali
[Outro]
Niliyoyasikia ya leo
Makubwa..!
Afadhali ya jana
Makubwa..!
Huwaga naona kwa video
Makubwa..!
Aaah Ah!
Ni mazito mama
Niliyoyasikia ya leo
Makubwa..!
Afadhali ya jana
Makubwa..!
Huwaga naona kwa video
Ooh na roho yangu inaenda
Manjegere
Nimekukumbuka sana ooh!
Manjegere Manjegere Manjegere
Hhhm me Mwenzio roho yangu
Manjegere Manjegere Manjegere
Eeeh Eeh!
Hata silali

Comments

Popular posts from this blog

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...