Skip to main content

Diamond Plutnumz ft Young Killer -Pamela Lyrics

[Verse 1: Diamond Platnumz]
Kwanza kako sex
Pamela!
Kiuno kama kazaliwa Congo
Ebu ni ka date
Pamela!
Mikogo kama samaki kamongo
Chumbani ni karate
Pamela!
Vurugu kama show za Manfongo
Navopenda deki
Pamela!
Ulimi shingoni mpaka kwa mgongo
Eeeh!
Katoto katamu tamu
Kanapenda pipi na chewing gum (Anhaa!)
Kimoko nacum cum
Kitanda kwichikwichi
Ni Bum Bum (Anhaa!)
[Bridge]
Eeh!
Oh najua maana ya penzi burudani
Na ndio maana nakupa kokote
Singoji mpaka kitandani
Aaaah yeah!
Pamela!
Oooh! Oh! Oh!
[Chorus]
Pamela!
She is hotter than fire
Pamela!
Ukimuona utagwaya
Pamela
Zigo lazima ntafire
Pamela!
Na kapenda ile mbaya
Pamela!
[Hook: Diamond Platnumz]
Aiiiy!!
Eeh my heart ooh!
She de skata my heart ooh!
Pamela!
Eeh my heart ooh!
Kanaumiza my heart ooh!
Eeh my heart ooh!
She de skata my heart ooh!
Pamela!
Eeh my heart ooh!
Kanaumiza my heart ooh!
[Verse 2]
Nilikutana nako Mbagala
Kwa kina Lufufu Mkandala
Mtoto mwali kidandala
Mtamu kwa nguna na sangala
Ooooh naa!
Anavyopose mchokozi
Nikiwa namwaga dose
Napocheza na ngozi
Hunikosi
Pamela!
Mpaka majonzi kwa njozi
Utamu kwa utosi
Sinaga ubitozi
Ni konzi
Pamela!
[Bridge]
Oh najua maana ya penzi burudani (Ooh! oh!)
Na ndio maana nakupa kokote
Singoji mpaka kitandani
Eeeeh yeah!
Pamela!(Pamelaa)
Oooh! Oh! Oh!
[Chorus]
Pamela
She is hotter than fire
Pamela
Ukimuona utagwaya
Pamela
Zigo lazima ntafire
Pamela
Ooh nakapenda ile mbaya
Pamela
[Verse 3 : Young Killer]
Huh!
Mwenye mdomo wa kulamba koni
Napozi za picha
Na moyoni nimekuficha
Picha ya mapicha picha
Wazushi wanayonipa nipa
Hayaumizi kichwa kichwa
Wala kunitisha
Usije nikatisha mood (Mood)
Kwa kufanya kusudi (Kusudi)
Ukaanza tena usiku na mchana
Ma nenda rudi (Rudi mama)
Kifuani sita
Tumbo hauna
Na ukikatika
Ndio kabisa Naumwa (Heheheh)
Njoo tucheze kibaku baku
Pamela!
Tuwakomeshe manyaku nyaku
Pamela!
Ukate taratibu yani nyatu nyatu
Pamela!
Kitandani unimeze ile kichatu chatu
Sikufichi
Namiss kumuchezo kako kila mara
Na ndio maana
Huwa napita pekupeku
Bila Ndala
Show ndefu kwa body
Nang'ala Ng'ala
Navuruga shape
Mwisho unabaki unagalagala
Msodoki.....!
[Chorus]
Eeeh Eh!
Pamelaaaa!
Oooh oh!
Pamela!
She is hotter than fire
Pamela!
Ukimuona utagwaya
Pamela!
Zigo lazima ntafire
Pamela!
Na kapenda ile mbaya
Pamela!
Nakupenda sana
[Outro]
Eeeh!
Eeeh!

Comments

Popular posts from this blog

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...