Skip to main content

Diamond Plutnumz ft Vanessa Mdee - Far Away Lyrics

[Intro]
This goes to all the sexy ladies out there!
S2kizzy baby
Invincible
Comme on
Oooh yeah!
Hhhhmm! Hhhhmm!
Iyoo Lizer!
[Verse 1 : Diamond Platnumz]
Ooh yeah!
Sijui nikaanzie kwa acapella (Oh yeah!)
Ama beat za kumwaga
Haka kabinti Cinderella
Ooh yeah!
Kajue navyo kapendaga
[Chorus : Diamond Platnumz]
Aah!
She dey take my heart away
So far away
Far away
Ooh!
Distance i can't explain
Far away
Far away
[Bridge: Diamond Platnumz]
I say!
The way she back her whine
Like
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Go gaga
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
And she whining it slow
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Ooh bend over
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Lets go that side
[Verse 2 : Vanessa Mdee]
Ninavyokupenda
Nimenawa mikono
Vyovyote tenda
Oooh Oooh Oh!
And give you the tender
Oooh i can
January to December
Mimi nasema
Babe napenda huh!
Tumeshibana
Mmeshibana mmeshibana
Wanaulizana ulizana ulizana
Wats going on (Wats going on)
Eti kwa chinichini tunaibiana
Mapenzi noma
Hatutaki julikana
Come on!
Babe come on
[Chorus : Vanessa Mdee]
And he is taking my heart away
Far away
So far away
Hhhmm!
And he is taking my heart away
So far away
Far away
Hhhmm!
[Bridge : Diamond Platnumz]
I say!
The way she back it
And whine like
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Go gaga
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
And she whining it slow
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Ooh bend over
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Eeeh yeah! Eeeh yeah!
Hhhhmm!
[Verse 3: Diamond Platnumz]
Kwangu uzuri wala sio sura
Ni kitandani
Miuno flani ya kochokocho (kochokocho)
Aaah! Hhhm!
Nikishashuka unipikie chakula
Chwa pwani eeeh!
Wanaitaga mapochopocho (pochopocho)
[Outro : Diamond Platnumz & Vanessa Mdee]
Sa nataka nikiguse kiuno
Gusa gusa
Nionyeshe
Gusa gusa
Nikate taratibu
Gusa gusa
Nizidishie mawenge
Gusa gusa
Niwe chizi mirembe
Gusa gusa
Ooh my babe
Gusa gusa
Nakugusa gusa
Ooh temptation
Gusa gusa
I am getting sensation
Gusa gusa
Hhhmm Hhm!
Gusa gusa
Hhhhmm Hhm!
And he is taking my heart away
So far away
Far away

Comments

Popular posts from this blog

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...