Skip to main content

Diamond Plutnumz - Baila Lyrics

[Verse 1]
Hhhmm
Kama Unanipenda sana
Umaarufu weka Mbali
Na ile nyumba ni ya mama
Hivyo usiwaze Madale
Isiwe kesho madrama
Napigiwa simu na Tale
Hadi Insta natukanwa
Umeshaanzisha kwale
[Bridge]
Moyo wangu
Mwepesi kupenda ila ngumu kusahau
Moyo wangu
Nateseka sana nayempenda akinidharau
Moyo wangu
Hodari wa kugawa wa kunipa sina
Moyo wangu
Ndio maana nasisitiza usije na wewe
[Chorus]
Baila Baila Baila
Baila Baila Baila
Baila Baila Baila
Baila mama
Baila Baila Baila
Baila Baila Baila
Baila Baila Baila
Baila mama
[Verse 2]
Hhhmm
Muziki vita
Hawataki niendelee
Hivyo ukipata nafasi
Tafadhali niombee
Na nyumbani visa
Ndugu zangu wazoee
Itaniumiza nafsi
Ikifikia musiongee
Na mashemeji kwa ofisi unapocheka nao
Tahadhari sana
Si unajua wanamuziki vitabia vyao
Wamejawa tamaa
Oh na! na dada zangu mawifi
Chunga nyendo zao
Usipelekwe mlama
Wakikwambia kaniki mara chota nyayo
Jua mumewe nakwama
Aaah Ah!
Utamu wa Big g Ni kutafuna
Usimeze uroda
Ongeza tu bidii kunikuna
Sio kuniroga
Kunikomba zaidi
Pika nguna nitaleta mboga
Unipe na kabibi kwetu suna
Nishushie na soda
[Bridge]
Moyo wangu
Mwepesi kupenda ila ngumu kusahau
Moyo wangu
Nateseka sana nayempenda akinidharau
Moyo wangu
Hodari wa kugawa wa kunipa sina
Moyo wangu
Ndio maana nasisitiza usije na wewe
[Chorus]
Baila Baila Baila (Oh Bailando Oh!)
Baila Baila Baila (Baila Kipenzi)
Baila Baila Baila (Eeh eeeeh)
Baila mama (Bailando Oh!)
Baila Baila Baila (Baila kidogo)
Baila Baila Baila (Baila nione)
Baila Baila Baila (Eeh eeeeh)
Baila mama (Bailando Oh!)
[Hook]
Hhhmm
Usiseme u love me
Then you lying
Usiseme u love me
Then you lying (aaaah!)
Usiseme u love me
Then you lying
Hhhhmm
Usiseme u love me
Then you lying aaaa (aaaah!)
[Chorus]
Baila Baila Baila
Baila Baila Baila
Baila Baila Baila
Baila mama
Baila Baila Baila (Oh Baila)
Baila Baila Baila (Baila Kipenzi)
Baila Baila Baila
Baila mama
[Outro]
Heheheh Obrigado

Comments

Popular posts from this blog

Nyashinski - Hayawani (Official Lyrics)

Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...

Barakah Da Prince - Sometimes (Official Lyrics)

Baraka Da Prince "Sometimes" Intro T ongeza sauti kidogo Mmmh Na Mr.T Tanzania(Touch) {Bana….} Verse 1 Mateso ni moja yaliyo mapito yangu, Maumivu ni moja kati yangazi zangu, Na hayazui macho kupenda yakipenda, Halafu haikomi roho hata kama ilitendwa, Najua hauamini nakupenda……………, Nisicho pinga mimi nakupenda………., Mwenzio ninachoamini nakupenda…….., Sibishani na roho silipingi hilo, Pre-Chorus Nagombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine mama wangee, Naukinio mama…., Legombo hagombo hainya hee, Hateli hateli ndalawa hee, Mondine mondine nenyiteliwahee, Naukinio mama…., (Uwoohoo) Chorus Sometimes I miss you(Ooh Mama), Sometimes I miss you(Kipenzi changu), Sometimes I miss you(Kitinda tinda cha roho), Sometimes I miss you, Sometimes I miss you(Sometimes mama), Sometimes I miss you(eheeeee), Verse 2 Ulinipeleka race ikafa break maskini roho yangu, Bado ...

Lava Lava - Kilio Lyrics

Lava Lava KILIO LYRICS [Verse 1] Hhhm Hhhm Hali Yangu Mbaya Anifikiria akipata muda (Akipata muda) Moyo ameshaugawa Pakacha penzi linavuja (Limeshavuja) Mwenzie nna pagawa nahisi uchizi Na network haisomi Hhhm Anayofanya si sawa nakosa usingizi Mwilini miwasho na vichomi Eeeiiihh!! [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimezidiwa Ni yeye..! Mwengine sioni kunitibia Uh! [Chorus] Kilio Oh Kilio Oh Kilio na penzi langu Kilio Oh Kilio Oh Huruma Haana Kilio Oh Kilio Oh Yarabi Mola wangu Kilio Oh Kilio Oh Japo simama [Verse 2] Yee ndio barafu Niliemlia yamini Pemba karafu marashi yangu mwilini Utamu wa ndafu Mbona ameuitia kwinini Amenichezea rafu Penzi amelikafili Eh..! Yee anajivinjali mwenzake nadoda Napata tu habari anagawa uroda Tetemeko moyo kupenda uoga Najiepusha mbali kukwepa vihoja [Bridge] Mwambiee....! Kuachwa mateso nasulubiwa Mwenzie....! Yatima wa penzi mwana mkiwa Oh mie eeh! Mapenzi ugonjwa nimez...