[Verse 1]
I say....!
Baby you like Yemi Alade
I know.....
Yeeh! Unampenda mtoto wa Kambarage
Diamond!
Aaah Ah! Ah!
When you de dance dance
Sakata!
Uno la mwendo kasi
Matata!!
Moyo unabust bust
Prakataa!
Najawa na wasiwasi
Mashaka!
Temptation takes me far away (Aaaah Ah!)
Imagination kissing night and day
[Bridge]
Ukitaka kunyoga babe
Ninogeshe!
Au koga babe
Nikuogeshe!
Nikubebe kama bag
Nibebeshe!
Nikutupe kwenye bed
Nikuonjeshe!
[Chorus]
Sa nionyeshe unavyocheza
Baikoko!
Show me how you dance
Baikoko!
Unavyocheza aah!
Ooh Baikoko!
Tururu turu
Baikoko!
Make it bounce
Baikoko!
Asa dance baby
Baikoko!
Yeah Eeeh Eh!
Ooh Baikoko!
Tururu tururu
[Verse 2]
Yeey!
Navyotafunaga zagazaga
Songomingo kwa chagachaga
Yani kama gomba nasagasaga
Anageuka bomba anamwagamwaga
Eeeh!
Babe ukithubutu tu
Kuniacha huruma
Moyo utautia ukurutu
Sitauweza ukuna
[Bridge]
Ukitaka kunyoga babe
Ninogeshe!
Oh! koga babe
Nikuogeshe!
Nikubebe kama bag
Nibebeshe!
Nikutupe kwenye bed
Nikuonjeshe!
[Chorus]
Sa nionyeshe unavyocheza
Baikoko!
Show me how you dance
Baikoko!
Unavyocheza aah!
Ooh Baikoko!
Tururu turu
Baikoko!
Make it bounce
Baikoko!
Hasa dance baby
Baikoko!
Yeah Eeeh Eh!
Ooh Baikoko!
Tururu tururu
[Hook]
Ooh! Kwasa Kwasa
Kwasakwa my heart ooh!
Ooh! Kwasa Kwasa
The girl that i want ooh!
Ooh! Kwasa Kwasa
Kwasakwa my heart ooh!
The girl that i want ooh!
Yeey!
Navyotafunaga zagazaga
Songomingo kwa chagachaga
Yani kama gomba nasagasaga
Anageuka bomba anamwagamwaga
Eeeh
[Chorus]
Sa nionyeshe unavyocheza
Baikoko!
Show me how you dance
Baikoko!
Unavyocheza aah!
Ooh Baikoko!
Tururu turu
Baikoko!
Make it bounce
Baikoko!
Hasa dance baby
Baikoko!
Yeah Eeeh Eh!
Ooh Baikoko!
Tururu tururu
Nyashinski "Hayawani" Kabla Swala ukamilishe Mama Tafadhali Mola mwambie Milele anichunge mi nisije zama Mashetani yasinivamie Chuki,wivu tunakutesa Linda kwako usiwaskie Kwa nini hatuwezi sote kupenda Oii wenzangu acha niwaambie Labda si sote wendawazimu! Labda laana yetu pesa Kesho ukipoteza kila kitu Dunia nzima itakucheka Wanaomba ntiliwe chai yangu sumu Wabaki hao ndio kusema Kesho wapigie demu wangu simu Asahau alivyonipenda! Oooh na mahayawani Hayayayaya Hayawani hawa wana si watu hawa Hayayayaya Binadamu kageuka mnyama! Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Hayawani hayawani hayawani Hayawani, hayawani hayayayaya Tunaongezea nini bidii? Na roho ya mwanadamu haitosheki aki Sorry if I never made u happy I can't be there for everybody It's easy to see Wengi huishi kutafuta kasoro kwako Why man so money minded You wanna take from everyone Man eat man society Huoni haya kuvunja familia Hamna utu ni kujifikiria...
Comments
Post a Comment